Hassan Mambosasa

Kutoka Gaza

ebook Ausgabe. Sprache: Kisuaheli.
epub eBook
EAN 9798230498179
Veröffentlicht Januar 2025
Verlag/Hersteller Mambosasa
Familienlizenz Family Sharing
2,99 inkl. MwSt.
Sofort Lieferbar (Download)
Teilen
Beschreibung

Baada ya kufanya kazi ya kwenye kisa cha TARISHI kwa mafanikio mkubwa, matatizo hayakuisha yote. Sababu bado kuna pandikizi kubwa lilibaki, ambalo liliapa lazima lingekuja kulipa kisasi kwa yaliyotokea. Hata kama ABK na Simpson walinyongwa haikuwa mwisho.
Ndiyo hapo inabainika kuna mpango hatari sana na kama ungefanikiwa basi dunia nzima ingeingia kwenye migogoro. Hasa mtaifa mengi kuwa na chuki na Marekani na Israel. Yote hayo yalianzia kwenye kutaniko lililosuka mpango mzima. Lililofanyika ukanda wa Gaza nchini Palestina. Wanausalama wakaja kuambulia namba za tiketi za watu ambao walitoka Gaza kwenda nchi nyingine na wangeingia Ramallah kupitia uwanja wa ndege ambao upo karibu na mji huo.
Ikawa ni mwanzo wa kuwafutilia wale wa Kutoka Gaza harakati ambayo ilijawa na upelelezi na michezo mingine ya kuviziana. Mwishowe majasusi walikuja kufanikiwa kazi hiyo.

Portrait

Hassan Mambosasa ni mzaliwa wa mkoa wa Tanga nchini Tanzania, elimu yake ameipata kwenye shule mbalimbali za sekondari. Ikiwemo Jitegemee JKT, Wailes, Ubungo islamic, victory na kuja kuhitimu kidato cha sita kwenye shule ya sekondari Tambaza.
Elimu ya juu aliipata chuo kikuu cha kilimo cha Sokoine (SUA), amesomea masuala ya TEHAMA akishughulika zaidi kwenye vifaa vya kompyuta.
Alianza uandishi mnamo mwaka 2006 hadi hii leo ameandika hadithi zaidi ya 40 katika mfumo wa vitabu vya mtandaoni.

Technik
Dieses eBook wird im epub-Format geliefert und ist mit einem Adobe Kopierschutz (DRM) versehen. Sie können dieses eBook mit allen Geräten lesen, die das epub-Format und den Adobe Kopierschutz (DRM) unterstützen.
Zum Beispiel mit den folgenden Geräten:
• tolino Reader 
Laden Sie das eBook direkt über den Reader-Shop auf dem tolino herunter oder übertragen Sie das eBook auf Ihren tolino mit einer kostenlosen Software wie beispielsweise Adobe Digital Editions. 
• Sony Reader & andere eBook Reader 
Laden Sie das eBook direkt über den Reader-Shop herunter oder übertragen Sie das eBook mit der kostenlosen Software Sony READER FOR PC/Mac oder Adobe Digital Editions auf ein Standard-Lesegeräte mit epub- und Adobe DRM-Unterstützung. 
• Tablets & Smartphones 
Möchten Sie dieses eBook auf Ihrem Smartphone oder Tablet lesen, finden Sie hier unsere kostenlose Lese-App für iPhone/iPad und Android Smartphone/Tablets. 
• PC & Mac 
Lesen Sie das eBook direkt nach dem Herunterladen mit einer kostenlosen Lesesoftware, beispielsweise Adobe Digital Editions, Sony READER FOR PC/Mac oder direkt über Ihre eBook-Bibliothek in Ihrem Konto unter „Meine eBooks“ -„online lesen“.
Schalten Sie das eBook mit Ihrer persönlichen Adobe ID auf bis zu sechs Geräten gleichzeitig frei.
Bitte beachten Sie, dass die Kindle-Geräte das Format nicht unterstützen und dieses eBook somit nicht auf Kindle-Geräten lesbar ist.