Hassan Mambosasa

Tarishi

ebook Ausgabe. Sprache: Kisuaheli.
epub eBook
EAN 9798224820740
Veröffentlicht Februar 2024
Verlag/Hersteller Mambosasa
Familienlizenz Family Sharing
2,99 inkl. MwSt.
Sofort Lieferbar (Download)
Teilen
Beschreibung

Kwa mujibu wa taarifa zilizonaswa na majasusi, ni kwamba balozi za Marekani na Uingereza zipo hatarini kushambuliwa miaka kadhaa baadaye. Siku ambayo ilipangwa kwa muda mrefu, kuwa waziri wa mambo ya nje wa Marekani angetembelea ubalozi wa nchi yake jijini Dar es salaam.
Mashirika ya kijasusi ya nchi hizo yanaingiwa na mashaka makubwa, kutokana na habari walizopata bomu ambalo lingetumika kulipua lingetikisa jiji zima. Ndiyo hapo sasa inabidi EASA waingilie kati suala, na inakuja kubainika chimbuko la lote ni nchini Somalia.
Majasusi watatu wanatumwa huko, akiwemo Norbert Kaila wanafanya kazi yao vyema. Shida inakuja ni pale wakitaka kuondoka, na hapo mmojawapo alishagunduliwa kuwahi kufika nchini humo hasa jimbo la Juba akafanya maafa ambayo yalipelekea awekewe kisasi.
Inageuka kuwa operesheni ambayo ilikaribia kugharimu maisha yake, ili kufanikisha wenzake wengine watoroke na mtuhumiwa waliyekuwa wakimsaka hasa.

Portrait

Hassan Mambosasa ni mzaliwa wa mkoa wa Tanga nchini Tanzania, elimu yake ameipata kwenye shule mbalimbali za sekondari. Ikiwemo Jitegemee JKT, Wailes, Ubungo islamic, victory na kuja kuhitimu kidato cha sita kwenye shule ya sekondari Tambaza.
Elimu ya juu aliipata chuo kikuu cha kilimo cha Sokoine (SUA), amesomea masuala ya TEHAMA akishughulika zaidi kwenye vifaa vya kompyuta.
Alianza uandishi mnamo mwaka 2006 hadi hii leo ameandika hadithi zaidi ya 40 katika mfumo wa vitabu vya mtandaoni.

Technik
Dieses eBook wird im epub-Format geliefert und ist mit einem Adobe Kopierschutz (DRM) versehen. Sie können dieses eBook mit allen Geräten lesen, die das epub-Format und den Adobe Kopierschutz (DRM) unterstützen.
Zum Beispiel mit den folgenden Geräten:
• tolino Reader 
Laden Sie das eBook direkt über den Reader-Shop auf dem tolino herunter oder übertragen Sie das eBook auf Ihren tolino mit einer kostenlosen Software wie beispielsweise Adobe Digital Editions. 
• Sony Reader & andere eBook Reader 
Laden Sie das eBook direkt über den Reader-Shop herunter oder übertragen Sie das eBook mit der kostenlosen Software Sony READER FOR PC/Mac oder Adobe Digital Editions auf ein Standard-Lesegeräte mit epub- und Adobe DRM-Unterstützung. 
• Tablets & Smartphones 
Möchten Sie dieses eBook auf Ihrem Smartphone oder Tablet lesen, finden Sie hier unsere kostenlose Lese-App für iPhone/iPad und Android Smartphone/Tablets. 
• PC & Mac 
Lesen Sie das eBook direkt nach dem Herunterladen mit einer kostenlosen Lesesoftware, beispielsweise Adobe Digital Editions, Sony READER FOR PC/Mac oder direkt über Ihre eBook-Bibliothek in Ihrem Konto unter „Meine eBooks“ -„online lesen“.
Schalten Sie das eBook mit Ihrer persönlichen Adobe ID auf bis zu sechs Geräten gleichzeitig frei.
Bitte beachten Sie, dass die Kindle-Geräte das Format nicht unterstützen und dieses eBook somit nicht auf Kindle-Geräten lesbar ist.